Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baraka Sadick ataja sababu ya ubora wake

Saturday , 25th Aug , 2018

Licha ya kimo cha nyota wa timu ya Kikapu ya Mchenga Bball Stars Baraka Sadick kuwa kifupi, lakini kiwango chake kimekuwa tishio kwenye michuano ya Sprite Bball Kings  hasa kwenye game mbili za fainali ambazo ameongoza kwa pointi.

Mchezaji Baraka Sadick akikimbia na mpira kwenye game 1.

Akiongea kwenye 'FNL' ya East Africa Television Ijumaa usiku Agosti 24, Baraka amesema kujituma, kufanya mazoezi zaidi hususani ya 'kushoot' ndio kitu kimemfanya awe bora akichangiwa na maandalizi mazuri ya timu yake.

''Kwanza ili ufanye vizuri kwenye Kikapu mazoezi ni lazima, kwasababu unaweza ukawa mrefu lakini mzembe, hivyo unatakiwa kujijenga katika misingi ya Kikapu na hiyo ndio siri ya kuwa bora ukiacha maandalizi ya timu kiujumla ambayo nayo yanamchango mkubwa'', amesema Baraka.

Kwa upande wake nyota wa Flying Dribblers Baraka Mopele ambaye yeye na timu yake wapo nyuma kwa game mbili za mwanzo kwenye 'best of five' amesema watajitahidi kutumia nafasi kwenye game 3 ambayo inapigwa leo kwenye uwanja wa taifa wa ndani kuanzia saa 10:00 jioni.

Mchezaji Baraka Mopele wa Flying Dribblers akiifungia timu yake.

Baraka ameeleza tatizo kubwa ambalo wamekuwa wakifanya ni kutotumia vizuri nafasi wanazotengeneza na tayari wamesharudi chini na kulifanyia mazoezi eneo la 'kushoot' ili waweze kupata pointi nyingi kwenye game 3 na hatimaye kushinda game hiyo na game 4 ili wacheze game 5.

Mpaka sasa Baraka Sadick wa Mchenga amefunga pointi 174 huku Baraka Mopele wa Flying Dribblers akiwa amefunga pointi 134. Endapo Mchenga leo watashinda watajitwalia milioni 10 na kombe na kuwaacha Flying Dribblers wakijikusanyia milioni 3 na 'MVP' ataweka mfukoni kiasi cha shilingi milioni 2.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa