Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

#AUDIO Nahodha Isihaka apiga goti

Friday , 18th Aug , 2017

Nahodha wa timu ya TMT, Isihaka Masoud ameomba radhi kwa utovu wa nidhamu aliyoonyesha katika mechi ya 'game 1' ya fainali za Sprite BBall Kings na kudai kilichotokea siku hiyo hakikuwa dhumuni lake ila hasira ndizo zilizomponza.

Nahodha wa timu ya TMT, Isihaka Masoud.

Isihaka amesema hayo leo baada ya kupita siku chache tokea alipofanya kitendo cha utovu wa nidhamu kwa kuwa tuhumu waamuzi 'Official' wa mchezo kuwa wanawabeba timu ya Mchenga BBall Stars kwa kuwa wao walifungwa kwa pointi 101-71 wakati alipokuwa akifanyiwa mahojiano 'Live' kupitia EATV uwanjani hapo jambo ambalo ni kinyume na sheria na taratibu za mchezo huo.

"Nimejisikia vibaya mwenyewe kwa kitendo nilichokifanya siku hiyo mpaka nafika nyumbani, nikawa najiuliza ni mimi kweli nimeongea yale maneno je watu watanifikiliaje?. Lakini naomba msamaha kwa washabiki wangu wote wa TMT, uongozi wa EATV, East Africa Radio, kwa mdhamini wa mashindano haya Sprite, TBF pamoja na watu wote wanaopenda mpira wa kikapu", alisema Isihaka.

Pamoja na hayo, Isihaka amesema kwa sasa amejifunza ni wapi anapaswa apeleke malalamiko yake pindi yanapotokea awapo uwanjani.

TMT inatarajiwa kushuka dimbani kesho kuvaana na Mchenga BBall Stars katika mchezo wa tatu wa fainali za Sprite BBall Kings katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam majira ya saa tisa mchana kwa saa za Afrika Mashariki na Kati.

Msikilize hapa chini Nahodha wa TMT, Isihaka Masoud anavyoendelea kuongea zaidi.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita