
Ivo Mapunda
Ivo ametanabaisha kuwa bado ana nguvu hivyo kustaafu soka kwa sasa atakuwa hajakitendea haki kipaji chake.
“Kwa wale wanaotaka kujua nitastaafu lini, niwaambie tu wasubiri siku wakimuona Mugabe anaachia madaraka ndiyo na mimi nitaacha kucheza soka.”