Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TP Mazembe kwisha, 'wadukuzi' wapewa kazi maalum

Monday , 1st Apr , 2019

Baada ya Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mbao FC mjini Morogoro, kocha wa klabu hiyo, Patrick Aussems ametuma salamu kwa TP Mazembe kuwa tayari benchi lake la ufundi linafuatilia kwa karibu video zao.

Kocha wa Simba, Patrick Aussems

Kocha Aussems amesema kuwa kabla ya kuwavaa Mazembe, kuna mchezo mmoja Jumatano ya wiki hii dhidi ya JKT Tanzania ambao atafanya mabadiliko ya kikosi ili kila mchezaji awe sehemu ya mchezo.

"Ni siku mbili zimebakia kabla ya mchezo na TP Mazembe maana tunacheza nao Jumamosi na ukitizama ni siku chache mno zilizobakia lakini viongozi wenzangu wa benchi la ufundi wanatizama video za wapinzani wetu", amesema Aussems.

Simba itacheza na JKT Tanzania Jumatano kabla ya kurejea Dar es salaam kujiandaa na mchezo wa robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe ya Congo DR Jumamosi, April 6 katika Uwanja wa Taifa Dar es salaam.

Mchezo wa hapo jana, Simba imefikisha jumla ya mechi 10 mfulululizo za ushindi katika Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo. Kupitia ukurasa wa Twitter, kocha Patrick Aussems amewapongeza wachezaji na msahabiki kwa kuifikia rekodi hiyo.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini