Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliopitishwa kugombea Uenyekiti Yanga

Tuesday , 9th Apr , 2019

Kamati za Uchaguzi za klabu ya Yanga pamoja na Shirikisho la Soka Tanzania TFF zimekutana leo kufanya mchujo wa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya klabu hiyo.

Makao Makuu ya Yanga

Kikao hicho kimewapitisha wagombea wote lakini kamati zimewapa angalizo kuhakikisha wanakamilisha nyaraka ambazo zimekosekana katika fomu zao, ambazo wametakiwa kufika nazo siku ya usaili.

Majina yaliyopitishwa kugombea nafasi ya Uenyekiti Yanga ni Dkt. Mabette Mshindo Msola, Lucas Mashauri na Elias Mwanjala huku katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti, majina yaliyopitishwa ni Janeth Zebedayo Mbena, Fredrik Wilfred Mwakalebela, Thobias Lingalangala na Samwel Lukumay.

Waliopitishwa kugombea Yanga

 

Wagombea hao waliopitishwa wataungana na wale waliopitishwa katika mchakato wa awali wa uchaguzi ulioendeshwa na TFF, ambao uliwapitisha baadhi ya wagombea akiwemo Dkt. Konas Toboroha katika nafasi ya Uenyekiti.

Kuona majina yote ya wagombea katika uchaguzi unaotarajia kufanyika mapema mwezi ujao, tazama taarifa hapa chini.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi