Kushoto ni tukio la Shilole kupigwa na Uchebe, kulia ni Kiki ya kifo ya msanii wa singeli Meja Kunta.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, Fabian Manoza.
Kushoto ni Vanessa Mdee na Rotimi kulia ni pete ambayo amevalishwa Vanessa Mdee
Kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, na kulia ni Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere.
Kushoto ni Rais Dkt. John Magufuli, na kulia ni kipimo cha COVID-19
Kamishna wa Polisi, Utawala na Menejimenti ya Rasilimali Watu CP Benedict Wakulyamba
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa stars inashiriki fainali za CHAN kwa mara ya pili, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 2009
Marehemu Askofu Dkt. Gertrude Rwakatare, wakati wa uhai wake.
