Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fatma Karume azungumzia kauli ya Makonda

Wednesday , 18th Sep , 2019

Wakili wa kujitegemea na aliyewahi kuwa Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Fatma Karume, ameonesha kushangazwa na kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, iliyoeleza kinachomuweka madarakani ni njaa tu na kusema kwamba, kiongozi huyo inaonesha ni kwa namna gani hawezi

Fatma Karume

Akizungumza leo Septemba 18, 2019 na EATV&EA Radio Digital, Fatma Karume amesema kuwa kwa kiongozi yeyote aliyepewa jukumu la kuhudumia wananchi, hakupaswa kutanguliza maslahi yake binafsi.

''Mimi nilikuwa nategemea kwamba, mtu anaingia katika utumishi wa Umma kwa ajili ya huduma kwa wananchi, sasa ukikubali kufanya kazi kama RC na umepewa kazi hiyo na Rais ni kwamba uko  tayari kuwahudumia wananchi, lakini kwa maneno aliyoyasema Makonda yeye yupo pale kujihudumia mwenyewe na njaa zake'' amesema Fatma Karume.

Aidha Wakili huyo ameongeza kuwa,kutokana na kauli hiyo, Makonda ameudhihirisha Umma kwamba hauwezi kusimama peke yake.

''Tatizo ni kwamba yupo pale kujihudumia njaa zake kwa maana huyu mtu hawezi kusurvive bila Serikali na anaitegemea Serikali na nguvu za wananchi ili ale, siyo yeye anayetaka awahudumie Wananchi bali anataka Wananchi wamhudumie yeye kitu ambacho hakiwezekani'' amesema Wakili huyo.

Kauli ya njaa ya  Makonda imekuja ikiwa ni siku chache tangu Rais Magufuli, alipotembelea machinjio ya Vingunguti na kuonesha kutoridhishwa na ujenzi wa machinjio mapya, ambapo alimuagiza Mkuu wa Mkoa kuhakikisha anasimamia miradi ya mkoa wake na inatekelezeka kwa muda muafaka.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita