Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda aagiza kufunga maduka kumuenzi Nyerere

Sunday , 13th Oct , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho maduka yote katika jiji la Dar es salaam yatafunguliwa kuanzia saa 5 asubuhi ili kupisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpifa kura kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kuenzi miaka 20 ya kifo cha

Mwalimu Julius Nyerere.

Mhe. Paul Makonda ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumzia juu ya zoezi la uandikishaji wa wananchi kuelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kuenzi kifo cha Baba wa Taifa.

Makonda amesema, "kesho Okt 14 ni kumbukizi ya miaka 20 tangu Baba wa Taifa atangulie mbele za haki, kwakuwa kesho ni siku ya mwisho ya kujiandikisha katika daftari la mpiga kura kuwapata Viongozi wa Serikali za Mitaa, kama Mkuu wa Mkoa wa DSM kwa kukuza demokrasia ndani ya Mkoa wetu naelekeza maduka yote yafunguliwe kuanzia saa 5 asubuhi hapa DSM kwakuwa hii ni sehemu ya kumuenzi Baba wa Taifa", amesema Makonda.

"Hii ni katika kuhakikisha wote tunajiandikisha ili kupata haki ya kupiga kura maana Baba wa Taifa aliwapa nafasi kubwa Viongozi hawa", ameongeza.

Kesho Oktoba 14, 2019 ni kumbukumbu ya kifo cha miaka 20 cha Mwalimu Julius Nyerere ambaye alifariki dunia Oktoba 14, 1994 akiwa katika matibabu nchini Uingereza. Pia kesho ni mwisho wa kujiandikisha kwa wananchi kwenye daftari la mpiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini