Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rose Muhando alivyokataa kutumikishwa kingono

Saturday , 19th Oct , 2019

Msanii wa nyimbo za Injili nchini Tanzania Rose Mhando, ameeleza jinsi alivyotakwa kimapenzi na meneja wake kipindi alipokuwa na matatizo ya afya, pamoja na kudaiwa kutumia madawa ya kulevya na kuabudu mashetani.

Rose Muhando

Rose Muhando ameeleza hayo katika mahojiano na kituo cha habari nchini Kenya, ambapo amesema taarifa za yeye kutumia madawa ya kulevya na kuabudu mashetani ni za uongo na zilisambazwa na aliyekuwa meneja wake baada ya kumkatalia kufanya naye mapenzi.

"Aliyekuwa Meneja wangu aliamua kunipangia kashfa kwa nia ya kuharibu jina langu, sikutaka kuwa mtumwa wa ngono, sitaki hata leo potelea mbali, hata kama yeye alitaka kuchukua vitu vyangu, akaamua kunitengenezea kashfa sababu nilimkataa basi na iwe hivyo lakini Mungu akibaki na mimi peke yake inatosha, maana yeye anajua hesabu za siku zangu" amesema Rose Muhando.

"Kwani mara ngapi nimechukuliwa nikapelekwa milimani, nikapelekwa msituni na kuwekewa bastola kichwani nikubaliane na kile ambacho sitaweza kulisema lakini nilikataa nikasema niko radhi kufa hata kwa dakika moja, siwezi kukubaliana na utumwa ambao walitaka kunitumikisha nao" ameongeza.

Pia amemshukuru Mchungaji maarufu nchini Kenya aitwaye Pastor Ng'ang'a kwa kumfanyia maombi na kumponya matatizo yake.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa