Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jafo ataka wagombea wanaokata rufaa watendewe haki

Thursday , 7th Nov , 2019

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo, amezitaka Kamati za Rufaa kushugulikia malalamiko ya wagombea watakaokata rufaa na kutoa maamuzi sahihi ili kuufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuwa wa amani na haki.

Waziri Jafo ametoa kauli hiyo akiwa mkoani Iringa, ambapo amesema amepokea malalamiko mengi kutoka kwa wagombea hasa wa upinzani kwa kile kinachoelezwa kuwa hawajatendewa haki katika zoezi hilo.

"Nendeni mkafanye kazi kwa weledi, sitaki nyinyi muwe watu mtakaopitisha yaliyofanyika kule chini, naombeni mkaangalie yale malalamiko ya mtu anayelalamika muangalie mufanye maamuzi bila kufungwa na mtu yeyote." amesema Jafo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi, amesema anataarifa ya Mitaa 46, ambayo vyama vya upinzani havikuchukua fomu kabisa.

Novemba 24, 2019, Watanzania wanatarajia kushiriki zoezi la kupiga kura kwa kuwachagua viongozi wa Serikali za Mitaa.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini