Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nuh Mziwanda adai kupelekwa kwa mganga na Shilole

Monday , 9th Dec , 2019

Msanii na mtayarishaji wa muziki, Nuh Mziwanda, amefunguka madai ya kuchukuliwa nyota ya kimuziki na kimaisha, pamoja na suala la kupelekwa kwa mganga na aliyewahi kuwa mpenzi wake Shilole.

Msanii Shilole akiwa na Nuh Mziwanda.

Kupitia EATV & EA Radio Digital, Nuh Mziwanda, amewajibu mashabiki ambao wanadai amechukuliwa nyota yake na mpenzi wake huyo wa zamani kwa kusema, hajui kama amechukuliwa nyota yake ila anachojua alikuwa kimya kwa muda mrefu.

"Kama mashabiki wanahukumu hivyo ni sawa ila ukimya wangu nilikuwa bize narekodi, kufanya kazi, mimi naona nipo sawa nafanya mambo yangu kimpango wangu pia siamini katika vitu kama hivyo ila kama watu wanaamini sawa labda wao wanamjua yule bi Dada kama ni mchawi mchawi" amesema Nuh Mziwanda.

Aidha kupitia kipindi cha DADAZ ya East Africa Television, Nuh Mziwanda, ameeleza kuwa aliwahi kupelekwa kwa mganga na Shilole.

"Wakati naachia wimbo wa jike shupa aliniambia niende kwa mganga, ili nijue nyimbo gani kali naiachia baada ya jike shupa pia akamtumia rafiki yangu Beka ili anishawishi kwenda kwa mganga na nilivyokubali tu kesho yake asubuhi alinifata tukaingia kwenye gari akanipeleka kwa mganga Tanga" ameeleza. 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa