Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanafunzi aliyetoa laki 9 kwa ajili ya GPA adakwa

Tuesday , 7th Jan , 2020

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mkoani Dodoma, inamshikilia mwanafunzi wa mwaka wa tatu, katika chuo kikuu cha St John's mkoani humo, James Kwangulija kwa kosa la kujaribu kutoa hongo ya laki tisa kwa afisa mitihani ili asaidie kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wenzake 6.

Akizungumza leo Januari 7, 2020, Mkuu wa TAKUKURU mkoani humo, Sosthenes Kibwengo, amesema uwepo wa tabia ya baadhi ya wanafunzi kutoa rushwa katika masomo, unapelekea kuzalisha wasomi wengi wasiokuwa na uelewa katika taaluma zao, hivyo kutokuwa na sifa za kuajiriwa kwenye soko la ajira hapa nchini.

"Leo tunatarajia kuwafikisha mahakamani watu wanne kwa makosa mbalimbali ya rushwa, akiwemo James Kwangulija (27), mkazi wa Kikuyu jijini Dodoma, mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa  shahada ya kwanza ya Ualimu katika chuo cha St John's kwa makosa ya kujaribu kutoa hongo ya laki 9 kwa afisa mitihani wa chuo hicho ili asaidie kuongeza GPA kwa wanafunzi wenzake 6" amesema Kibwengo.

Katika hatua nyingine TAKUKURU mkoani humo, itamfikisha pia mahakamani Rainer Kapinga, aliyekuwa Mganga Mkuu Wilaya ya Bahi, pamoja na Raymond Mhegele ambaye ni Afisa TEHAMA wa wilaya hiyo kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka yao.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini