Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Wasipotii agizo lazima wakamatwe' - DC Sabaya

Sunday , 19th Jan , 2020

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, amewataka wamiliki wawili wa mabasi ya Machame Safari na Lim Safari, wahakikishe wanafika Kituo cha Polisi kama alivyowaagiza na kwamba yeye hajibizani na watu kwenye mitandao na wasipotii agizo lake watakamatwa kama wahalifu wengine.

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.

Akizungumza na EATV &EA Radio Digital leo Januari 19, 2020, yakiwa yamepita masaa kadhaa tangu atoe agizo hilo DC Sabaya amesema kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuhakikisha miundombinu ya Reli inabaki salama na kwamba wito wake ni halali.

"Hayo maneno yao yataisha muda si mrefu, maelekezo yangu wafike Kituo cha Polisi na mimi sijibizani na watu kwenye mitandao, na wakitaka kujua wanayeshindana naye hawatamuweza wao waache kufika kituoni na mimi msimamo wangu uko pale pale, na ikifika saa 12:30 jioni hawajafika watakamatwa tu kama wahalifu wengine" amesema DC Sabaya.

Kwa mujibu wa Sabaya amewaagiza wamiliki hao ambao ni Clemence Mbowe na Rodrick Uromu, kufika katika kituo cha Polisi cha Bomang'ombe wilayani humo kwa tuhuma za kuunda genge la uhalifu lenye mrengo wa kuhujumu miundombinu ya reli ili kuathiri usafiri wa Treni ya abiria kati ya Dar es Salaaam na Moshi.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa