Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kumbe Stamina ndiyo alianza kusaliti tangu zamani

Tuesday , 28th Jan , 2020

MwanaHipHop Stamina ametueleza kitu ambacho hatukijui kutoka kwake, tangu zamani kuwa hakuwahi kuwa muaminifu kwenye suala zima la mahusiano kwani alishafumaniwa mara 2 na aliyekuwa mpenzi wake.

Picha ya MwanaHipHop Stamina

Akiiambia Planet Bongo ya East Africa Radio, inayoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 7:00 mchana mpaka 10:00 jioni, Stamina amesema zamani alikuwa anafanya hivyo bila ya kujua thamani ya mwanamke.

"Mimi nimeshawahi kufumaniwa hapo zamani sijawahi kuwa muaminifu, nilikuwa na mwanamke mmoja ambaye nilimtesa kidogo kwa sababu sikuwa na mipango naye ila kumbe yeye alikuwa yupo serious kwangu, tena nilifumaniwa mara 2 na mwanamke huyohuyo mmoja wakati huo nilikuwa sijatulia, sijui nilikuwa sioni thamani yake" amesema Stamina.

Stamina ni moja ya wasanii ambao walikuwa gumzo wiki kadhaa zilizopita, baada ya kuachia wimbo wake wa asiwaze, ambapo amezungumzia yaliyomtokea kwenye ndoa na alivyosalitiwa na mke wake, hali iliyopelekea kuachana kwao.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini