Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ratiba kamili za mazishi ya Baba wa Kanumba

Monday , 9th Mar , 2020

Siku ya Machi 8, 2020 zilitoka taarifa za kifo cha Baba wa aliyekuwa staa wa filamu hapa nchini Steven Kanumba, aitwaye Charles Kanumba, aliyefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mkoa wa Shinyanga.

Picha ya marehemu Baba Kanumba

Kupitia EATV & EA Radio Digital, imempata Happyness Charles ambaye ni mmoja wa watoto wa marehemu Baba Kanumba, akielezea kuhusu sababu ya kifo cha mzee huyo pamoja na ratiba kamili za mazishi ya msiba huo.

"Taratibu za mazishi yenyewe yataanza  kesho Jumanne, ambapo tutaaga mwili wa marehemu kuanzia saa 8 mchana kisha kuelekea nyumbani kwao Busega Mwanza, ambapo tutazikia siku ya Jumatano mida ya saa 7 mchana, halafu tutarudi kumalizia msiba nyumbani kwake Shinyanga"  ameeleza Happyness Charles.

"Baba ameanza kuumwa kichwa, tumbo na miguu kwa muda mrefu sana, alianza kuugua kabla ya Kanumba hajafariki kwa sababu alikuwa anaumwa polepole, kwahiyo kadri siku zinavyoenda hali inazidi kubadilika ghafla kisha akafariki" ameongeza

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita