Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Majaliwa, hali ya sasa ya Corona nchini

Sunday , 24th May , 2020

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa mpaka sasa Mkoa wa Dar es Salaam kwa ujumla wake, umebaki na wagonjwa wa Virusi vya Corona 13, Kibaha wamebaki wagonjwa 16 na Mkoani Dodoma katika kituo cha Mkonze wamebaki wagonjwa 3.

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu ameyabainisha hayo leo Mei 24, 2020, wakati akizungumza na waumini wa Dini ya Kiislam mara baada ya kumaliza kuswali Sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. 

"Nafurahi kuwaambia kuwa taarifa ya Daktari Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, leo asubuhi Hospitali ya Amana imebaki na mgonjwa mmoja, Mloganzila amebaki mmoja, Temeke hatuna mgonjwa wa Corona, Kairuki, Rabininsia na Regency hakuna mgonjwa, katika Hospitali ya AgaKhan tunao 11, 4 wako chini ya uangalizi wa Daktari, Kibaha wamebaki 16, na Dodoma katika Kituo cha Mkonze wamebaki watatu" amesema Waziri Mkuu.

Aidha Waziri Mkuu ametoa salamu kutoka kwa Rais Magufuli, ambapo amewapongeza Waislam kote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani na amewashukuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa, hasa katika kipindi hiki cha ugonjwa wa COVID-19.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa