Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuhusu ligi kuchezwa kituo 1,klabu yamuomba Waziri

Tuesday , 26th May , 2020

Baadhi ya klabu za Ligi Kuu Tanzania bara zimeonekana kulalamikia gharama zitakazojitokeza pindi ligi itakapoendelea kwa kuchezwa katika kituo kimoja cha Dar es Salaam.

Mchezo wa Ruvu Shooting dhidi ya Simba

Hatua hiyo inakuja kufuatia Rais Magufuli kutoa ruhusa ya ligi kurejea na siku kadhaa baadaye Waziri wa Sanaa, Habari, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe kutoa utaratibu wa namna ligi itachezwa, akiitaja Dar es Salaam kuwa ni mkoa kwa ajili ya Ligi Kuu.

Afisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire ni miongoni mwa waliotoa maoni yao katika hatua hiyo ambapo amesema kuwa utaratibu wa kucheza ligi katika kituo kimoja utaziathiri zaidi klabu za mikoani kiuchumi kutokana na gharama za kuweka kambi kwa mwezi mmoja.

Masau Bwire amesema gharama ya kuweka kambi katika hoteli kwa timu moja kwa mwezi mzima siyo chini ya Sh. milioni 58 kwa mwezi mzima, jambo ambalo si rahisi kwa klabu nyingi hasa za nje ya Dar es Salaam, hivyo amemuomba Mhe. Waziri kukaa na wadau kuweka utaratibu mzuri kwa klabu hizo.

Mapema kabla ya ruhusa ya kuendelea ligi kutolewa na Rais Magufuli, klabu ya Ndanda ililalamika kukosa pesa za kuendesha klabu hasa kutokana na madhara ya COVID-19 na kuiomba Bodi ya Ligi na TFF kutoa msaada, na baadaye Bodi ya Ligi ilijibu kuwa haina pesa za kuzisaidia klabu na badala yake wataziwahisha pesa za wadahamini wao.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa