Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mwaka huu nilikuwa kugombea Urais Tanzania"-Rado

Friday , 3rd Jul , 2020

Tumezoea kuona wasanii maarufu kutaka kuwa viongozi hasa katika nyadhifa ya Ubunge ila hii ipo tofauti kwa msanii wa filamu Rado ambaye amesema anataka kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2025.

Msanii wa Filamu Rado

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital msanii huyo wa filamu amesema mwaka huu alikuwa na mipango ya kugombea Urais wa Tanzania ila kwa sababu ya kazi anayoifanya Rais Magufuli ni kubwa na anatakiwa kuungwa mkono ila yeye atagombea 2025.

"Watu hawajui ndoto yangu kesho nataka kuwa nani, mwaka huu nilikuwa nategemea kugombea Urais wa Tanzania, ila kwa sababu kazi anayoifanya Rais Magufuli ni kubwa inatakiwa kupewa sapoti, kuungwa mkono, kushikwa mkono na kuheshimiwa, mimi nitasubiri hadi Rais wangu Dkt John Pombe Magufuli akimaliza muda wake mwaka 2025, na mimi ndiyo nitatia nia ya kugombea Urais" ameeleza msanii wa filamu Rado

Zaidi tazama kwenye mahojiano kamili hapa chini.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini