Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EXCLUSIVE: Mke wa Kigwangalla amzungumzia Mumewe

Sunday , 12th Jul , 2020

Mke wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla, Dkt Bayoum Awadhi, ameeleza ni kwa namna gani huwa ana-miss uwepo wa mume wake nyumbani hii ni kutokana na Dkt Kigwangalla kuwa na majukumu mengi ya kikazi yanayopelekea kutokuwepo nyumbani kwa wakati.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla na Mke wake Dkt Bayoum.

Dkt Bayoum ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV, mara baada ya kuulizwa ni changamoto gani anayokumbana nayo kuwa na mume ambaye ni kiongozi na anakimbizana na mikiki ya huku na kule na kuongeza kuwa yeye huwa anajitahidi kuliziba pengo la mume wake kwa watoto wao ili na wao wasijisikie wapweke, pindi Baba yao anapokuwa hayupo nyumbani.

"Changamoto ziko nyingi, lakini kubwa ni kum-miss nyumbani tunatamani kuwa naye, sana nawaonea hurumia watoto, 'Sometime i try to fill the gap' ili kuwafanya watoto waone hakuna shida Baba yupo, lakini kadiri siku zinavyozidi nazidi kujifunza na kuzoea namshukuru Mungu ameniwezesha" amesema Mke wa Dkt Kigwangalla.

Tazama video hapa chini.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini