Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasomba Kokoto,mchanga walilia serikali

Friday , 31st Jul , 2020

Umoja wa vijana Wafanyabiashara wa Mchanga na kokoto katika eneo la ubungo External Jijini Dar es Salaam, umeiomba Serikali kupitia vitengo vya ujenzi vya ngazi ya Halimashauri kuwapa tenda za kutoa huduma ya mchanga na kokoto ili kusaidia kuwakuza kiuchumi.

Umoja wa vijana Wafanyabiashara wa Mchanga na kokoto katika eneo la ubungo External Jijini Dar es Salaam, umeiomba Serikali kupitia vitengo vya ujenzi vya ngazi ya Halimashauri kuwapa tenda za kutoa huduma ya mchanga na kokoto ili kusaidia kuwakuza kiuchumi.

Ikiwa hii leo ni Sikukuu ya Eid el Haji Eatv imefika katika eneo hilo na kujionea vijana hao wakiendelea na harakati zao ambapo wamesema wanatamani kupata tenda katika serikali yao kwa kuwa imejielekeza katika ujenzi wa maeneo mbalimbali na wao wanauza vifaa vya ujenzi

Wafanyabiashara hao wamesema kupitia Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini TARURA wanaweza kufanya chochote endapo watapata fursa hiyo ya kutoa huduma ya kuwauzia kokoto.

Kwa upande wake Verani Vicent ambaye amekuwa akisafirisha kokoto hizo amesema biashara hiyo hulipiwa vibali na kodi mbalimbali, huku akishukuru serikali kwa kuendelea kutumia eneo hilo lililopo pembezoni mwa barabara ya Mandela kuweka biashara zao.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa