Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vitu 5 vya kuzingatia ukishanunua simu mpya

Tuesday , 1st Dec , 2020

Ukishanunua simu mpya, kila mmoja anakuwa na haraka ya kufungua boksi kuiwasha simu yake na kuanza kutumia, sasa hivi ni vitu 5 muhimu vya kuzingatia baada ya kununua simu mpya ( kwa leo tutaziangazia simu za Andoid )

Vitu 5 vya kuzingatia ukishanunua simu mpya

Angalia 'updates' mpya za Apps kwenye simu yako

Ukishaiwasha nenda kwenye mpangilio wa simu (settings), kisha nenda kwenye kuhusu simu (About device), kisha Software updates. Kufanya hivi inasaidia kuifanya simu kufanyakazi kwa ufanisi, kuimarisha ulinzi na kuongeza uimara.

Ondoa Apps ambazo huzihitaji

Hatua nyingine muhimu ni ya kuondoa Apps ambazo hazina umuhimu zinazokuja moja kwa moja kwenye simu ili kuongeza nafasi ya simu yako.

Nakili data zako kutoka kwenye simu ya awali

Ukiwa unaseti vitu vyako kwenye simu mpya, Androids itakuuliza wapi unataka kunakili (copy) taarifa zako kutoka kwenye kifaa cha zamani, ambapo unaweza kutumia USB cable inayoendana au kwa kutumia Apps za kuhamishia taarifa mbalimbali.

Angalia Apps za chaguo msingi (Default Apps)

Ziangalie 'Default Apps' kwenye simu yako na uzipangilie kwa namna unayotaka. Ili kuzipata ingia kwenye Mpangilio wa simu (settings), kisha Apps & Notifications, kisha Default Apps.

Wezesha kipengele cha kuitafuta simu yako ( Find my Device )

Huduma ya kutafuta simu yako kutoka Google itakuwezesha kuitafuta, kuifunga na kuizima kabisa pindi inapopotea, kwahiyo hakikisha unaiwezesha simu yako na huduma hii tangu siku ya kwanza.

Ili kuwezesha simu yako, nenda kwenye mpangilio wa simu (Settings), kisha ulinzi (Security), kisha tafuta kifaa changu (Find my Device) na kuwasha. Hakikisha ukiwa unafanya hivyo, umewasha data na 'location'.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa