
Jeneza lililobeba mwili wa Mzee Jengua
Kwenye picha hapo hilo ndilo jeneza lililobeba mwili wa marehemu Mzee Jengua, ukisindikizwa na mamia ya watu waliojitokeza kwa ajili ya kwenda kuzika kwenye makaburi ya Mburahati Jijini Dar Es Salaam.
Wachekeshaji na mastaa wa filamu kama Steve Nyerere, Miss Lucy Charles, Mzee Jumbo, Kingwendu, JB, Mama Kanumba, Patrick Kanumba, Bi Staa, Tito, Ringo, Tin White, Kivurande na Hashim Kambi ni baadhi ya mastaa waliojitokeza kwenye mazishi ya Mzee Jengua.
Zaidi tazama hapa chini kwenye video.