
Picha ya jengo la Simba lililopo mtaa wa Msimbazi, Kariakoo, jijini Dar es Salaam.
Kamati imetoa taarifa hiyo ikiwa ni siku moja baada ya kutoa orodha ya majina manne ya wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti kwenye Uchaguzi unaotaraji kufanyika tarehe 7 mwezi huu. Majina ya wagombea hao yameorodheshwa kwenye taarifa iliyotolewa na Simba hapo chini.