Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba ashikiliwa kwa mauaji ya mke na mtoto

Saturday , 17th Apr , 2021

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Joachim Rwegasira mwenye umri wa miaka 45 mkazi wa kitongoji cha Rushonga kata Buganguzi wilayani Muleba kwa tuhuma za kuwaua mke na mtoto wake mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja, kwa kuwakata na kitu chenye ncha kali.

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Maketi Msangi

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Maketi Msangi amesema kuwa tukio hilo limetokea Aprili 16 mwaka huu saa tisa Alasiri, na kuwataja waliouawa kuwa ni Rosemary Joachim mwenye umri wa miaka 35 na mtoto wake Joiness Joachim mwenye umri wa mwaka mmoja.

Msangi amesema kuwa chanzo cha mauaji hayo ni wivu wa kimapenzi na kwamba baba huyo amekuwa akimlalamikia mke wake kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na jirani yao na kwamba hata mtoto huyo alimzaa na jirani, ambapo baada ya kutekeleza mauaji hayo mtuhumiwa huyo alijaribu kujiua bila mafanikio.

"Mtuhumiwa alijikata kwa kitu chenye ncha kali sehemu za tumboni katika kitovu na shingini akilenga kujidhuru lakini hakufanikiwa na  alikamatwa akiwa hai", amesema.

Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda huyo, mtuhumiwa huyo amelazwa katika hospitali teule ya wilaya ya Muleba iitwayo Rubya, kwa matibabu na hali yake sio nzuri.

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya