Friday , 20th Aug , 2021

Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema (33) ataendelea kuasalia klabuni hapo mpaka mwisho wa msimu wa 2022/23 baada ya kuongeza mkataba mpya.

Picha ya Mchezaji Karim Benzema

Benzema amekuwa mhimili mkubwa wa mafanikio kwa klabu hiyo yenye maskani yake pale Santiago Bernabéu tangu Cristano Ronaldo aondoke kwenda Juventus.

Mfaransa huyo msimu uliopita wa 2020/21 alimaliza akiwa amefungu magoli 23 ya ligi (LaLiga) na 6 UEFA Champions League