Picha ya shabiki wa Simba MC Mishepu na nyumba yake
MC Mishepu ambaye anakaa Kijitonyama Dar es Salaam anasema amefanya hivyo kwa sababu aamini Yanga hawezi kumfunga Simba na ikitokea hivyo wamfuate atatoa hati za nyumba na kuwakabidhi mashabiki wa Yanga.
Zaidi mtazame hapa kwenye video akizungumzia hilo.