Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba, Harmonize na Rayvanny ngoma nzito

Friday , 24th Sep , 2021

Game ya BongoFlava imechangamka sana kuanzia nusu ya mwaka huu 2021, kwani hatujazoea kuona wasanii wakubwa kama Alikiba Diamond na Harmonize kuachia ngoma zao kwa wakati mmoja.

Kutoka kushoto ni Alikiba, Harmonize na Rayvanny

Suala hilo limetokea mwaka huu baada ya Diamond Platnumz kuachia wimbo wa 'iyo' siku ya Julai 26, kisha siku nne baadaye Julai 30, Alikiba akaachia ngoma yake Jealous na Harmonize akaachia mang'dakiwe remix August 6.

Sasa vita hiyo wameihamishia kwa wasanii wanaowamiliki ambapo Alikiba ameachia kazi mpya aliyofanya na msanii wake Tommy Flavour inaitwa jah jah siku ya jana Septemba 23.

Kutoka Konde Gang Music, CEO Harmonize ametangaza ujio mpya ya msanii wake Cheed siku ya leo Septemba 24, kwa mara ya kwanza tangu aondoke lebo ya Kings Music Records.

Aidha msanii Rayvanny kutoka 'WCB' naye ametangaza ujio wa msanii wake Macvoice kwenye lebo yake mpya ya 'Next level music' siku ya Septemba 24.

Watoto wa mjini wanasema kimeumana, acha tuone wasanii hao kutoka lebo hizo watatoa ushindani kama kaka zao walivyofanya au la.

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani