
Duara
Musa Sitta ni mchimbaji katika mgodi wa Mhalo ameeleza namna tukio la Emanuel kufukiwa kwenye duara lilivyotokea kwa kusema kwamba nguzo ya kuingilia chini ya duara ilikatika baada ya mawe kuporomoka hali iliyopelekea vifusi kushuka chini.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia Novemba 8, 2021, majira saa 9:30 usiku.