
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma Jackline Ngonyani Msongozi
Kauli hiyo ameitoa wakati akiwashukuru wanawake wa Tunduru kwa imani waliyompa na kumheshimisha kwani walimpa nguvu na ujasiri wa kwamba hawawezi kumuacha na watampa ushindi ahadi ambazo zilikuwa ni za kweli.
Tazama video hapa chini