Picha ya mapacha wa kiume waliowaoa mapacha wa kike
Unaambiwa mapacha hao wakiume walikuwa wana ndoto siku moja waje kuoa wanawake mapacha wanaofanana na wanamshukuru mungu kwa kujibu maombi yao.
"Kufunga ndoa na mapacha wanaofanana ni moja ya matakwa ambayo tumekuwa tukitafuta maisha yetu yote na Mungu uwe utukufu tumefanikisha hilo," amesema mmoja wa mapacha hao.
Chanzo : Instablo9ja, Daily Trust, Viral Nigeria, Ghgossip.com, Globalupfornt.