Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Wahanga Karume watafutiwe eneo'' - RC Makalla

Sunday , 16th Jan , 2022

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla,amewaomba wahanga wa moto Soko la Karume kuwa watulivu, kwani inaundwa kamati ya kuchunguza chanzo cha moto katika Soko la Karume ambapo vyombo vyote ya ulinzi na usalama pamoja na Afisa Biashara Jiji na mkoa wataingia kwenye kamati hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akiwa Soko la Karume

Makalla ameyasema hayo leo Januari 16, 2022 baada ya kufika eneo la Karume Ilala Jijini Dar es salaam kujionea hali ya Soko la Karume ambalo limeteketea kwa moto alfajiri ya leo.

''Serikali itafanya jitihada ya kuhakikisha kwamba tunajua chanzo lakini pia tunakuja na suluhisho ya sisi kurejea katika kufanya biashara baada ya kupokea taarifa na maamuzi ya nini kifanyike katika soko hili,'' ameeleza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla.

''Tuwaombe muwe watulivu. Majanga haya yanapotokea yanahitaji maneno ya faraja kama ambayo tunawapa, lazima tutafute njia mbadala ili maisha yaendelee," amesema Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla.

''Si rahisi leo ukadhani kwamba baada ya hapa tutaacha tu kamati ifanye kazi, watu hawa walioko hapa lazima maisha yaendelee na ili maisha yaendelee ni maelekezo yangu kwamba Uongozi wa Jiji la Dar ukiongozwa na DC na Uongozi wa Soko, tuangalie namna ambavyo tunaweza kuwasaidia Wafanyabiashara hawa katika masoko ya jirani,'' ameongeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa