Mbeya
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi ACP Benjamin Kuzaga, amesema kuwa tukio hilo limetokea Januari 8 mwaka huu majira ya saa 12:00 jioni.
Kamanda Kuzaga ametoa wito kwa wazazi na walezi kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi ikiwa ni pamoja na kutoa adhabu zilizopitiliza na kusababisha madhara makubwa ikiwemo na kutoa uhai wa wengine.
