Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chongolo aonya wananchi kusikiliza porojo

Sunday , 28th May , 2023

Wananchi wilayani Mufindi mkoani Iringa, wameshauriwa kuendelea kuunga mkono Chama cha Mapinduzi na kuacha kusikiliza porojo za watu wengine kwa sababu mafanikio hayaji siku moja.

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Daniel Chongolo

Ushauri huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Daniel Chongolo, wakati akizungumza katika mikutano mbalimbali ya mashina na wananchi wa mji wa Mafinga na kuwataka kuacha kudanganywa na kutengenezewa matumaini hewa kwa sababu hakuna miujiza kwenye mafanikio kwani kila kitu ni hatua.

"Muache kudanganywa wapo watu wanakuja wanapiga porojo kweli kweli ni mabigwa wa kuwatengenezea watu matumaini hewa hakuna miujiza kila kitu kinaenda kwa hatua watu waliotamani kukimbia kwenye mafanikio wengi wamejikwaa wakapotea kwa sababu mafanikio ni hatua na lazima waambiwe ukweli," amesema Chongolo

Aidha Chongolo ameongeza kuwa, "Na sisi viongozi twende chini tuwaambie wananchi ukweli wasiyumbishwe wakadhani kila jambo linakuja kwa miujiza kumbe ni hatua kwa hatua na utaratibu,unapanga na unatekeleza hakuna jambo linalotoka hewani".

Chongolo yupo ziarani mkoani Iringa, akiambatana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Sofia Mjema na Katibu wa NEC, Oganaizesheni Issa Haji Ussi Gavu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke