
Msanii wa muziki wa bongofleva Meninah La Lida
Staa huyo ametoa maelezo haya hasa akihusishwa na uvumi wa yeye katika kipindi cha nyuma kuhusishwa na mahusiano na Diamond Platnumz ambaye tayari ilikuwa ikifahamika kwamba ana mahusiano na Wema Sepetu, kikubwa akiwataka mashabiki wake kukaa tayari kwa rekodi hiyo Jumamosi.
