
Miongoni mwa miradi hiyo ni Daraja la ambalo lina urefu wa kilomita 3, likiwa miongoni mwa madaraja marefu zaidi nchini na Afrika Mashariki.
Rais Samia amesema mradi huo ni sehemu ya jitihada za kuunganisha mikoa, kukuza biashara na kuimarisha usafirishaji wa watu na mizigo.