
Mheshimiwa Agnes Meena, kuhakikisha anasimamia kikamilifu mradi wa bandari ya uvuvi ya Kilwa.
Rais Samia amesema kukamilika kwa bandari hiyo kutazalisha ajira kwa zaidi ya vijana 30,000 nchini, na hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira.