Shaka asema Rais Samia anarejesha Demokrasia
Katibu wa Halmashauri kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Shaka Hamdu Shaka amesema juhudi zinazofanywa na Mwenyekiti wa Chama hicho Rais Samia Suluhu Hassan kuzungumza na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa inaonyesha jinsi gani alivyorejesha heshima ya Demokrasia