Wakorea Saba kunyang'anywa Passport

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua maendeleo ya ujenzi wa Meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameiagiza idara ya uhamiaji mkoa wa Mwanza, kuzichukua hati za kusafiria za raia saba wa nchi ya Korea wanaojenga Meli ya MV Mwanza Hapa Kazi Tu, ili wasiondoke nchini hadi ujenzi huo utakapokamilika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS