Tope soko la Mabibo laibua fursa kwa wajasiriamali

Bi. Subira Simba, mjasiriamali anayewaosha miguu wanaofika soko la Mabibo

Tope lililopo katika soko la Mabibo Ndizi, Ubungo Jijini Dar es salaam limekuwa ni fursa kwa wakina mama mbalimbali wanaojishughulisha na kukodisha mabuti ya kutembelea kwenye tope na kuosha miguu ya watu wanaotoka sokoni humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS