Tope soko la Mabibo laibua fursa kwa wajasiriamali
Tope lililopo katika soko la Mabibo Ndizi, Ubungo Jijini Dar es salaam limekuwa ni fursa kwa wakina mama mbalimbali wanaojishughulisha na kukodisha mabuti ya kutembelea kwenye tope na kuosha miguu ya watu wanaotoka sokoni humo.