Majambazi waliopora milioni 1.2 kijijini wauawa Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinkwi Majambazi wawili ambao majina yao hayajafahamika wameuawa na wananchi wilayani Kilwa mkoani Lindi, baada ya kuvamia duka la mfanyabiashara mmoja na kupora fedha taslimu kiasi cha shilingi milioni 1.2. Read more about Majambazi waliopora milioni 1.2 kijijini wauawa