Chaneta watakiwa kujitangaza Makamu Mwenyekiti (CHANETA), Shyrose Bhanji . Chama cha Netiboli Tanzania (CHANETA) wametakiwa kutumia vyombo vya habari kujitangaza zaidi ili kuwapata wadhamini watakaosaidia mchezo huo kukua na kurudisha hadhi ya netiboli nchini. Read more about Chaneta watakiwa kujitangaza