Changamoto ya magodoro gereza la Liwale yatatuliwa

Ushirikiano kati ya Mkuu wa Wilaya ya Temeke Jokate Mwegelo, kiwanda  cha magodoro Vita Foam pamoja na mkuu wa wilaya ya Liwale Judith Nguli umewezesha upatikanaji wa Magodoro 50 yaliyokuwa yanahitajika katika gereza la Wilaya ya liwale ambayo ilikuwa Changamoto ya muda katika gereza hilo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS