Kijana wa miaka 13 mwenye kampuni

Omari anamiliki kampuni yake mwenyewe inayoitwa 'DIPALICIOUS'

Mfahamu Kijana wa miaka 13 kutokea Uingereza, Omari McQueen anaetengeneza mkwanja kupitia mitandao ya kijamii kwa kutengeneza video za mapishi, pia kipindi chake cha 'What’s Cooking Omari?' kinaruka kupitia channel ya watoto ya BBC kwa msimu wa pili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS