"Binadam wote wana akili za Mwanamke" - Mchungaji 

Picha ya Mchungaji Richard Hananja

Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dar es Salaam, Richard Hananja anasema Mwanamke ndio mwalimu mkubwa duniani na hakuna binaadam mwenye akili ya mwanaume kwa sababu saikolojia ya binaadam imepandikizwa na Mwanamke.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS