Rais Samia amtaka Nape kufanya kazi yake

Kushoto ni Waziri wa Habari Nape Nnauye, na kulia ni Rais Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemtaka Waziri wa Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye, kuchuja katuni zinazopatikana mitandaoni kwani baadhi ya zilizopo zinakiuka mila na desturi za Mtanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS