Fisi aliyejeruhi mtoto auawa kwa risasi tano

Vikosi vya kiusalama Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, vimemuua kwa kumpiga risasi tano mnyama aina ya Fisi, aliyemvamia na kumjeruhi mtoto mdogo Gindu Kilulu, mkazi wa Mtaa wa Yoma Kata ya Somanda wilayani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS