Yanga vs Ruvu ni mechi ngumu -Kaze (Kocha msaidizi wa Yanga Cedric Kaze) Vinara wa ligi kuu Tanzania bara (Nbc Premier League 2021/22) klabu ya Yanga wanatarajiwa kushuka kwenye dimba la Lake Tanganyika mnamo May 4 kupambana na klabu ya Ruvu Shouting majira ya saa kumi kamili jioni. Read more about Yanga vs Ruvu ni mechi ngumu -Kaze