Mchakato wa kupandisha mishahara waanza
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Jenista Mhagama, amesema mishahara ya watumishi wa umma itapanda ifikapofika Julai 2022 ambapo sasa wizara imeanza kupitia taarifa za Watumishi katika Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara