George Mpole amefunga bao la 11, Geita 2-2 Azam

Mshambuliaji wa Azam FC kushoto akiwania mpira dhidi ya mchezaji wa Geita Chilo Mkama.

Geita Gold FC na Azam FC zimegawana alama moja moja kwenye mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania bara uliochezwa leo Jioni katika dimba la Nyankumbu mkoani Geita baada ya mchezo huo kumalizika kwa sare ya mabao 2-2.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS