Ni rasmi nastaafu masumbwi, Fury Bondia wa uzani mzito anayeshikilia mkanda wa WBC kutoka Uingereza, Tyson Fury ameweka wazi dhamira yake ya kustaafu mchezo wa masumbwi baada ya kumtwanga Dillian Whyte siku ya Jumamosi kwa KO kwenye round ya sita. Read more about Ni rasmi nastaafu masumbwi, Fury